• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

VETA Mbeya Watakiwa Kuongeza Idadi ya Vyuo vya Ufundi

Imetumwa : June 11th, 2019

Mkuu wa Mbeya Mhe. Albert Chalamila  ameutaka Uongozi wa Chuo cha VETA Kanda kuangalia namna watakavyoweza kuongeza idadi ya vyuo vya ufundi  sehemu nyingine kwa sababu mahitaji yake ni makubwa sana hasa katika kuelekea uchumi

Mhe. Chalamila ameongea  hayo leo kwenye ziara ya kukagua na kuongea na watumishi wa chuo  hicho  na kuwataka kuendelea kuwa  na mpango wa kuhakikisha kila fundi aliyeko mtaani amepitia mafunzo katika chuo hicho.

" Nina mpango kabla ya mwaka 2020 kuanzisha mfumo utakaohakikisha fundi yeyote aliyepo katika Mkoa wa Mbeya ana  Cheti cha VETA kwa  kozi za muda  mfupi  na  Chuo pia muangalie jinsi ya kupunguza ada ili iwe rafiki kwa vijana wote kuweza kulipa". Mhe. Chalamila

Aidha, Mhe Mkuu wa Mkoa amekitaka  Chuo cha VETA kuwa na mahusiano mazuri na vyuo binafsi vya ufundi na lazima  wawe wadhibiti ubora wa taaluma  wa vyuo hivyo

Akisoma taarifa ya Chuo hicho Mkuu wa Chuo Cha VETA  Mbeya Mhandisi Hasan Kalima amesema kuwa chuo hicho kinatoa kozi mbalimbali za muda mfupi na muda mrefu ambazo zimeweza kutoa fursa  kwa watu wengi kupata mafunzo ya ufundi stadi na kuweza kujiajiri

Mhandisi Kalima amesema wahitimu wa mafunzo ya kozi za muda mfupi kwa muda wa miaka mitano iliyopita imefikia 7,500 katika yao Wanaume 6,000 na Wanawake 1,500 kutokana uhitaji mkubwa uliopo sasa hasa katika elimu ya ujasiriamali

" Chuo kimeweza kujenga  Green House kama shamba darasa ili jamii inayotuzunguka iweze kujifunza namna ya kujenga na kutumia kilimo  hiki  kwa kustawisha mazao mbalimbali". Mhandisi Kalima

Aidha Kalima amemshukuru Mkuu wa Mkoa kwa kuweza kukitembelea chuo hicho kujionea shughuli za mafunzo na huduma  wanazozifanya na kutoa ushauri wa kuboresha

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa