• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wakuu wa Wilaya Watakiwa Kusimamia Zoezi la Upandaji Miti

Imetumwa : February 6th, 2018

Mkoa wa Mbeya ameagiza Wakuu wa Wilaya wote kutumia msimu huu wa mvua kusimamia na kushirikiana na wananchi kuendeleza kampeni muhimu ya upandaji wa miti kitaifa ili kuweza kupunguza uharibifu unaosababishwa na ukataji miti na kutunza vyanzo vya maji na kuweza kufikia lengo tuliloweka la kupanda miti 1.5 milioni au zaidi kwa kila Halmashauri.

Mhe Makalla ameyasema hayo katika uzinduzi wa Kampeni za upandaji miti Kitaifa Mkoa wa Mbeya ambapo kampeni hii  hufanyika ili kuruhusu wananchi wote wa maeneo husika kushiriki kikamilifu katika kupanda miti kwenye maeneo yao ya makazi.

“ Ni imani yangu kuwa, wakazi wa Vijiji na Mitaa inayozunguka hifadhi hii mtahakikisha kuwa miti iliyopo na inayopandwa kwenye hifadhi hii na pembezoni mwa barabara inatunzwa kikamilifu ili kuboresha hali ya mazingira na uhifadhi wa misitu na vyanzo vya maji katika maeneo yetu”. Mhe. Makalla

Pia Mhe. Makalla amewataka Viongozi wa Siasa na Serikali kudhibiti ufugaji ndani ya hifadhi na kuhakikisha kwamba mifugo yote inafungwa na kuhudumiwa katika maeneo yaliyoruhusiwa pasipo kusababisha uharibifu wa rasilimali za mazingira

Mwakilishi wa Mamlaka ya Mji Bw. Venance Hawela amesema ili kutekeleza kikamilifu jukumu hili mwaka huu mradi wa uhifadhi mazingira Mlima Mbeya umeweka malengo ya upandaji miti 102,000 kwa ajili ya vyanzo vya maji, mapambo na Matunda na kimvuli.

Bw. Hawela amesema kuwa lengo kuu ni kuhamasisha wananchi kuwa na utamaduni wa kupanda miti katika maeneo yao ili kuepusha nchi kuwa jangwa kutokana na kukosekana kwa rasilimali ya misitu.  

Aidha amehimiza shughuli za upandaji miti kuendelea na kusimamia shughuli za upandaji miti  ziwe ni utamaduni wananchi  kupanda miti kwenye maeneo yao na vyanzo vya maji kwani ni muhimu sana kwa maisha ya kila siku.


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa