• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATENDAJI NA WENYEVITI WA MITAA HAKIKISHENI MITI HII INAKUA.

Imetumwa : December 9th, 2024

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh:Jaffar Haniu amewaagiza Watendaji wa Mitaa na Wenyeviti kuhakikisha wanasimamia kwa Ukaribu Ustawi wa Miti iliyopandwa Leo na kutosita kumchukulia hatua Kali za Kisheria yeyote atakayehusika kuharibu Mazingira kwa Kukata au kung'oa Mti katika Maeneo Yao.

Haniu ameyasema hayo Leo siku ya Kumbukizi ya Miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika wakati akiongoza Zoezi la Upandaji Miti Mlima Kawetire, Kata ya Itezi Halmashauri ya Jiji la Mbeya akisimama kwaniaba ya Mkuu wa Mkoa Cde:Juma Z.Homera.

Katika Zoezi hilo lililojumuisha Taasisi mbali mbali, Vyombo vya Usalama na Wananchi wa Kata hiyo DC Haniu amewataka pia Watendaji na Wenyeviti hao Kushirikiana kwa Karibu na Wananchi, kadharika TFS na Uongozi wa Mkoa kuhakikisha Mazingira yanalindwa Vyema.

Kwa Upande wake Kaimu Katibu Tawala Mkoa Bi Anna Mwambene amesema zaidi ya Miche Elfu Tatu(3000) leo imepandwa Mlima Kawetire ulioko Kata ya Itezi licha ya Malengo Kimkoa ya Upandaji miti kwa Kata ya Itezi ni Miche Elfu Tano(5000) na kubakiwa na Deni la Miche Elfu Mbili pekee.

Diwani wa Kata ya Itezi Wakala: Shitambala amewaomba Wananchi wa Itezi Kupanda Miti zaidi saana Miti ya Matunda ili mbali na utunzaji Mazingira lakini pia watajipatia Chakula Cha Matunda na kujiongezea Kipato.

Kadharika ameiomba Halmashauri ya Jiji la Mbeya kwa vile viwanja ambavyo Wananchi walipewa lakini bado viko wazi havinajrngwa wavichukue wawape wanaohitaji Kujenga la sivyo Maeneo hayo Uongozi wa Kata upewe wapande Miche ya Maparachichi.

Balozi wa Mazingira Mkoa wa Mbeya Chief Rocket Mwashinga amesema

Mfano sisi Mazingira yetu ni Mazuri saana hakuna Mtu anayekata Miti kwenye Misitu yetu ya kutambikia hakuna binadamu anayeingia zaidi ya Panya tuu. Sasa tunaomba mwasisitize Wenyeviti wa Mitaa waache mara Moja Tabia ya Kutoa vibali vya Kukata Viti Laa sivyo tupeni ruhusa sisi Machief tulisimamie hili kama Nyie mmeshindwa" amesema Mwashinga ambaye ni Chief wa Kabila la Kisafwa Mbeya.

Mkoa wa Mbeya umeweka Malengo ya Kupanda Miti Milioni Kumi na Laki Tano(10,500,000)kwa mgawanyo wa Kila Halmashauri Milioni Moja na Laki Tano.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa