• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATUNZA SIRI ZA OFISI MBEYA WAKUMBUSHWA KUZINGATIA MAADILI YA KAZI

Imetumwa : November 15th, 2024

Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Rodrick Mpogolo amewataka waandishi na waendesha ofisi za serikali na taasisi mbalimbali za umma na binafsi kuzingatia maadili na kufanya kazi kwa bidii.

Mpogolo amesema hayo wakati akifungua mkutano mkuu wa mwaka wa waandishi na waendesha ofisi (PS's) mkoa wa Mbeya mkutano uliofanyika katika mji mdogo wa Mbalizi wilaya na mkoa wa Mbeya.

Katibu tawala mkoa wa Mbeya Rodrick Mpogolo ambaye ndiye mkuu wa watumishi wa umma mkoa akiwa mgeni rasmi kwenye mkutano huo, amesema watumishi hao wasaidizi katika ofisi ni kundi muhimu katika kuleta ufanisi wa kazi.

Amewataka kuendelea kuzingatia nidhamu, bidii na sheria zinazowataka ili kutunza siri za ofisi zao kwa maendeleo ya taasisi husika na serikali kwa ujumla.

Pamoja na kusisitiza utunzaji siri za ofisi pia amewataka kutofumbia macho siri mbaya ndani ya ofisi badala yake watoe taarifa kwenye mamlaka zao za juu ili kutoharibu maadili ya utumishi wa umma.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mbeya Gideon Mapunda, amewataka wataalamu hao kuendelea kushikamana kufanya kazi kwa bidii na kujiona wa thamani ofisini katika kuleta ufanisi na kuchochea maendeleo.

Naye Mwakilishi wa wataalam hao kutoka mkoa wa Mbeya kwenda Taifa Frank Kilomo akitoa taarifa yake, amesema kumekuwa na ongezeko la wajumbe kwenye umoja wa waandishi waendesha ofisi na kuiomba Serikali kupitia waajiri wao kuwajali watumishi hao kwa kuwapa mafunzo ya ndani na nje na kuchochea ari kazini.

Katika mkutano huo wa mwaka wa waandishi na waendesha ofisi (PS's) kutoka ofisi mbalimbali wamekutana kwa lengo la kutafakari ufanisi na changamoto zinazowakabili sanjari na kuchukua hatua za pamoja katika kuendelea kufanya kazi kwa weledi ambapo watoa mada mbalimbali wamefundisha mambo kadha wa kadha ikiwamo wataalam hao kuendelea kuzingatia maadili ya taaluma yao na kuepuka upendeleo kazini ili kuleta usawa.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa