• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Waziri Mkuu Mstaafu Mh Pinda Afunga Maonesho ya Nanenane Mbeya

Imetumwa : August 8th, 2019

Waziri Mkuu Mstaafu wa Serikali ya awamu ya nne, Mizengo Pinda amewashtua viongozi wa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini na viongozi wengine wa wilaya  alipowaambia mikoa yao ni miongoni mwa mikoa 10 inayoongoza kwa utapiamlo wa watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano nchini.

Pinda ametoa kauli hiyo leo Agosti 8, wakati akifunga maonyesho ya wakulima, wafugaji na wavuvi wa mikoa hiyo yaliyofanyikakwenye uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya.

Amesema kitaifa asilimia 33 ya watoto 100 wanautapiamlo, lakini  mkoa wa Ruvuma  una asilimia 40 yawatoto 100 wenye utapiamlo , wakati mkoa wa Iringa una asilimia 47.1 , Mbeya asilimia 33.8, na Mkoa wa Rukwa ni asilimia 47.9.

Mikoa mingine ni Njombe ambao una asilimia 53,mkoa wa Katavi una asilimia 33.7 na Mkoa wa Songwe una asilimia 43.3 idadi ambayo alisema ni kubwa na inatia aibu kwa mikoa inayotajwa kuongoza kuzalisha chakula.

Mwaka 2018 mikoa hiyo yenye watu zaidi ya watu milioni nane ilizalisha kwa asilimia 124 ya malengo na hivyo kuwa na ziada yatani milioni 3.2 ya chakula .

Pinda ambaye anajulikana kwa jina la mtoto wa mkulima amesema tatizo hilo ni la hovyo na kuwataka wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi kuanzisha mkakati maalumu wa kupambana na utapiamlo kwa watoto haona wajawazito ili kuondoka na  aibu.

Amesema jambo hilo limemfanya yeye kwa kushirikiana na wadau kuanzisha taasisi itakayofanya kazi ya kupambana na utapiamlo nchini hususan mikoa inayoongoza kwa tatizo hilo.

Ameitaka mikoa yote kushirikiana na na vyuo mbalimbali kutatua changamoto za jamii hususan suala la kutoa elimu kuhusu lishe bora.

Akizungumzia ujasiriamali wake kwa ufugaji wa samaki alisema  yeye anamiliki mabwawa tisa Dodoma yaliyochimbwa kwa gharama ya sh 3.5 milioni  na kuweka samaki ambao akivuna bwawa moja linampatia Sh 25 milioni baada ya miezi  michache.

Ametoa mwito kwa vijna kufanya ujasiriamali  kwa guvu zote bila kusubiri ajira ambazo kwa kawaida siyo nyingi katika nchi zote duniani.

Awali Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Albert  Chalamila , amesema wakuu wa mikoa waliamua kumwalika yeye kufunga maonyesho hayo  baada ya kuvutiwa na uadilifu wake  na kwamba Pinda ni kiongozi mwadilifu wa kuigwa na viongozi wasasa.

Mhe. Chalamila amekemea viongozi wanaoendekeza rushwa na uzembe katika Serikali ya awamu ya Tano na kwamba hawana budi kuacha mara moja badala yake watekeleze maagizo na maelekezo ya Rais John Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa