• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Waziri wa Maji Afunga Wiki ya Maji

Imetumwa : March 23rd, 2018

KATIKA kuadhimisha wiki ya maji duniani, Waziri wa Maji naUmwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisiya Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira Jiji la Mbeya.

Sambambana hilo Waziri pia alizungumza na wadau wa maji Mkoa wa Mbeya ambapo kwa pamojawalijadili changamoto na jitihada za kuhakikisha rasilimali za Maji zinatunzwa.

Aidha Waziri ameziagiza Mamlaka za Maji nchini kuhakikisha zinalipia huduma yakuchukua maji kwenye mabonde kila mwezi ili kupata fedha za kusaidia utunzajiwa vyanzo vya maji.

Alisema ofisi za Mabonde ya maji zina majukumu makubwa ya kuhakikisha vyanzo vya majivinatunzwa kwa ajili ya manufaa ya vizazi vilivyopo na vizazi vijavyo lakiniyanakabiliwa na changamoto ya fedha hivyo njia pekee ni kupata kutoka kwenyemamlaka zinazochukua maji hayo.

Aidha alitoa wito kwa Mamlaka za Maji kuhakikisha zinadhibiti upotevu wa maji kwakuwa unaingiza hasara kwa serikali kutokana na maji yanayopotea ni majiyaliyotibiwa na kusukumwa kwa umeme.

Alisema kiwango cha kimataifa cha upotevu wa maji hakitakiwi kuzidi asilimia 20 hivyokila Mamlaka kuhakikisha hazizidi kiwango hicho ikiwa ni pamoja na kuondoakabisa.

Awali akisoma taarifa kwa Waziri, Afisa Biashara wa Mamlaka ya Maji na Usafi waMazingira Mbeya, Venance Hawera kwa niaba ya Mkurugenzi alisema Mamlakainamikakati ya kuhifadhi vyanzo vya maji kwa kuwashirikisha wadau kwa kutumiaulinzi shirikishi.

Alisema mikakati mingine ni pamoja na kuongeza idadi ya wateja wa maji safi na majitaka mtandao wa maji uweze kuwafikia wananchi hadi majumbani kwao.

Aliongeza kuwa matarajio ya Mamlaka ni kuongeza chanzo cha maji kutoka Mto Kiwira uliopoWilaya ya Rungwe ambacho kitazalisha Lita Milioni 65 kwa siku ujazo ambaoutaongeza uzalishaji uliopo na kufikia Lita Milioni 115 kwa siku.

Alisema mradi huo wa maji kutoka Mto kiwira kilomita 37 kutoka Mbeya mjini utazalishamaji kwa njia ya mseleleko na kuongeza kiwango cha maji kitakachodumu hadikufikia mwaka 2036 mradi ambao utagharimu shilingi Bilioni 42 hadi kukamilika.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa