• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kaya 309 Zarejeshwa kwenye Maeneo yao

Imetumwa : July 17th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Makalla amezirejesha Kaya 309 za wananchi wa Vijiji vya Ndolela, Mapaliji na Ikawe Wilaya ya Chunya baada ya tume aliyounda kujiridhisha kwamba waliondolewa maeneo hayo kwa makosa.

Mhe Makalla ameyasema hayo leo kwenye mikutano wa hadhara Kijiji cha Shoga ambapo amesema kuwa aliunda tume baada ya kupita malalamiko mengi kutoka kwa wananchi wa maeneo hayo pamoja na baraza la madiwani.

Mhe Makalla amesema kuwa tume ilibaini zoezi la kuwaondoa wananchi hao katika vijiji hivyo lilifanyika kimakosa kwa sababu wananchi walikuwa wakiishi katika eneo msitu wa Kijiji ambao walipewa kisheria kwa kupewa hati miliki za kimila zilizothibitishwa na halmashauri ya Wilaya.

Amesema kuwa zoezi hilo limeonyesha kuwa hakukuwa na mawasiliano mazuri kati ya Serikali ya Wilaya na Kijiji kwa sababu vijiji hivyo vinatambulika kisheria na kuwa na viongozi waliochaguliwa.

Aidha, Mhe Makalla mewataka wananchi wa Wilaya hiyo kuacha uvamizi katika Hifadhi, vyanzo vya maji na uharibifu wa mazingira na kutaka halmashauri kuweka mpango wa matumizi bora ya ardhi katika Wilaya hiyo.

Akiongea katika mkutano huo Mchungaji Edson Antony amesema kuwa maaskari walicho kaya zaidi ya 300 pamoja na chakula na Mifugo yao kupelekea kupata hasara kubwa ikiwa pamoja na kuingia madeni ya ifaa vya umeme wa jua walivyokopesha

Mchungaji Antony amemshukuru Mkuu wa Mkoa kwa kuweza kuwarudisha katika maeneo yao zamani kwani sehemu walizohifadhiwa walianza kuondolewa kwa kuwa walikaa kwa muda mrefu.

Naye Bibi Justina Joseph amelalamika kuwa wakati wa zoezi yeye alikuwa na uchungu wa kujifungu hali iliyompelekea kujifungulia nje baada ya maaskari kumwondoa kwa nguvu katika nyumba yake.

Kaya 309 zilizokuwa na wananchi mmoja mmoja 1310 walitolewa katika maeneo wanayoishi kwa kudaiwa kuvamia hifdhi ya msitu.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa