• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mahakama Yaombwa Kusimamia Haki

Imetumwa : October 5th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Albert Chalamila aimeiomba mahakama kuendelea kusimamia utolewaji wa haki kwa kutoa maamuzi yasio na mashaka na kuendelea kushirikiana na taasisi nyingine za Serikali katika kutasfsiri Sheria.

Mhe Chalamila ameyasema hayo leo hii Octoba 4, 2018 ofisini kwake alipokutana na Majaji, Mahakimu na Watendaji kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya walipofanya ziara.

Amesema kuwa mhimili kuu unapofanya hukumu inawapasa kujiridhisha na kufanya maamuzi yasikuwa na mashaka kwa kujiridhisha kiasi cha kutosha ili ile haki inayokusudiwa inapatikana na kupunguza malalamiko ya wananchi ya kutotendewa haki.

“Mhimili huu ukikengeusha haki kwa namna yoyote kwa maslahi yoyote hasara yake ni kubwa sana. Tunazungumzia watu wanaoweza kuiharibu taasisi, kama kiongozi akiwa mla rushwa wasaidizi wake wataitumia mwanya huo maana wataona hakuna mtu wa kuwakemea” Amesema Chalamila

Amefafanua kuwa masuala ya kisheria ni magumu lakini mahakama imepewa dhamana kubwa ya kuyasimamia na kuomba mahakama ijisafishe hasa kwa Watendaji wachache ambao wanaolalamikiwa kuhusu rushwa na kuuchafua mhimili huo.

Akielezea dhumuni la ziara yao Jaji Mfawidhi wa Mahakama ya Kanda ya Mbeya Mhe. Robert Makaramba amesema kuwa kuja kufahamiana kwa kuwa Mhe Mkuu wa Mkoa ni sehemu ya uendeshaji mahakama kwa sababu ni mwenyekiti wa kamati ya nidhamu ya Mkoa kwa kushughulikia masuala ya maadili ya mahakimu.

Jaji Makaramba amesema kuwa kuna sheria inayotuongoza ni ya mwaka 2011 inayoitwa Sheria ya Utawala wa Mahakama (Judiciary Administrative Act 2011) ambayo inaweka taratibu na wajibu wa Mkuu wa Mkoa na wajumbe wanahusika katika kamati hiyo

Aidha, Jaji Makaramba amesema kuwa kwa sasa Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeanzisha utaratibu wa kutoa Elimu kwa umma mara 3 kwa wiki ili kusaidia kupunguza malalamiko ambayo haina mipango ikiwa kuitekeleza jukumu la kusaidia nchi iendelee kuwa na amani.

 Mahakama Kuu ya Kanda ya Mbeya ilianzishwa tangu mwaka 1977 chini ya Marehemu Mhe Jaji Mwakibete kwa kuungana na Mkoa wa Rukwa na baada ya Rukwa kutangazwa Mkoa ikaanzishwa mahakama yake. Kwa sasa Mahakama ya Kanda Mbeya inashughulikia na Mkoa

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • RC DKT. HOMERA AKUTANA NA MABALOZI WA NCHI NNE AFRIKA

    May 26, 2025
  • "WAFUNDISHENI PIA ULAJI WA LISHE WATU MAOFISINI" - RC DKT. HOMERA

    May 26, 2025
  • FISTULA INATIBIKA, MATIBABU NI BURE, KARIBU UHUDUMIWE - DKT. HOMERA

    May 19, 2025
  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa